Hapana mkuu...ilikuwa 6.5Ila sio kwa million 3
Nipe IST ya 7MHapana mkuu...ilikuwa 6.5
Mkuu nikirengesha kwa hiyo si unajua inabidi nipate kama 1 ili maisha yasonge,Nipe IST ya 7M
Nipe hata C ilio katika hali nzuri kwa 6.5MMkuu nikirengesha kwa hiyo si unajua inabidi nipate kama 1 ili maisha yasonge,
Kwa sasa sijaibahatishaa ...
Nilikuwa na Dm imetoka juzi...ngoja nivute waya nikipata within ntakupa infoNipe hata C ilio katika hali nzuri kwa 6.5M
Poa hio dm nyeusi jamaa alikuwa anaringa jana kumbe kashapiga helaNilikuwa na Dm imetoka juzi...ngoja nivute waya nikipata within ntakupa info
Hii ilikuwa silverPoa hio dm nyeusi jamaa alikuwa anaringa jana kumbe kashapiga hela
Hii ilikuwa silver
Aiseeh,Mmh kuna nyeusi mwenye nayo ameleta utoto sana jana