Nahitaji gari haraka sana

Nahitaji gari haraka sana

Africa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
1,504
Reaction score
2,272
Habari wakuu!

Nina Mil 4, nahitaji Gari ya kutembelea siyo ya mizigo.
[emoji1314]Gari iwe na Cc kuanzia 990 hii iwe kuanzia namba C.
[emoji1314]Gari kuanzia Cc 1200 siangalii namba sana ila iwe nzuri.
[emoji1314]Iwe Ac inafanyakazi
[emoji1314]Iwe full document
[emoji1314]Isiwe na madeni

Nipo Moro town, unaweza kuja Pm na maelezo au kuweka hapa gari yako.
Mnunuaji ni mimi mwenyewe kwa matumizi yangu.

Pesa ipo active. Karibuni[emoji1317]
 
Habari wakuu! Nina Mil 4, nahitaji Gari ya kutembelea siyo ya mizigo.
[emoji1314]Gari iwe na Cc kuanzia 990 hii iwe kuanzia namba C.
[emoji1314]Gari kuanzia Cc 1200 siangalii namba sana ila iwe nzuri.
[emoji1314]Iwe Ac inafanyakazi
[emoji1314]Iwe full document
[emoji1314]Isiwe na madeni
Nipo Moro town, unaweza kuja Pm na maelezo au kuweka hapa gari yako.
Mnunuaji ni mimi mwenyewe kwa matumizi yangu,
Pesa ipo mfuko wa shati.
Karibuni[emoji1317]
 
Back
Top Bottom