Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeweka mawasiliano yetu, WhatsApp unaweza kututumia messageNikidunduliza naweza kupata ikafika 11M ila zaid ya hapo ntatoka kamasi kwa kweli hali ngumu, kama unayo nzuri tusaidiane.
All men are brothers
Nichek inboxNatumai wazima humu, Msaada nahitaji IST 1290Cc iwe na conditions nzuri isiwe imerudiwa rang bajet yangu 10.5M.
Sitak iwe kwa dalali ila awe mmiliki halali
Kwa budget Yako Gari unapata vzuri cha msingi tulia Usiwe na papara tafuta Gari hata 5-10 na sanasana jaribu kuchek na owner Moja kwa moja, Ila kwa ushauri tu kwanini usiongeze hata ifike 13m uagize mwenyewe upate mkwaju wako mpya.Natumai wazima humu, Msaada nahitaji IST 1290Cc iwe na conditions nzuri isiwe imerudiwa rang bajet yangu 10.5M.
Sitak iwe kwa dalali ila awe mmiliki halali
Eti isiwe imerudiwa rangi!!Natumai wazima humu, Msaada nahitaji IST 1290Cc iwe na conditions nzuri isiwe imerudiwa rang bajet yangu 10.5M.
Sitak iwe kwa dalali ila awe mmiliki halali
Huu ujinga hata huwa siuelewi.Eti isiwe imerudiwa rangi!!
Baadhi ya wabongo bado washamba, hayo used toka nchi kama Japan yamerudiwa rangi sembuse haya used ya hapa Bongo!
View attachment 2337399
Hivi rangi ikirudiwa kuna shida gani?
Wewe siku rangi yako ikipauka hutapiga nyingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hataki gari ambayo haijarudiwa rangi aagize mpya kutoka kiwandani.
Mpya how sema Used kutoka japengaKwa budget Yako Gari unapata vzuri cha msingi tulia Usiwe na papara tafuta Gari hata 5-10 na sanasana jaribu kuchek na owner Moja kwa moja, Ila kwa ushauri tu kwann usiongeze hata ifike 13m uagize mwenyew upate mkwaju wako mpya
Hongera sana Tajiri ...Asanten ndugu zangu, kuna mdau alinicheki inbox alikuwa na ist ya kwake, nishadaka ipo vzr sana namba DZB