Nahitaji Gari Toyota Ra4 ( kilitime)

Nahitaji Gari Toyota Ra4 ( kilitime)

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
Nahitaji Gari tajwa hapo juu
Bajeti yangu ni shilingi Milion 7 Cash

Mwenye nalo anidm

Gari liwe zima, linatembea, halijapata Ajali
 
zingatia sana ushauri waliokupa wadau hapo juu usije kuingia mkenge.
kwa hiyo bajeti yako labda ununue IST au Vitz ndio itakuwa kwenye hali nzuri
Naitaji Gari tajwa hapo juu
Bajeti yangu ni shilingi Milion 7 Cash

Mwenye nalo anidm

Gari liwe zima, linatembea, halijapata Ajali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom