itoe kwenye list yakoIst mkuu itoe kwenye list
Hata iyo vits isiwe ile RsIst mkuu itoe kwenye list
Yes Rs dili sana hawezi pataHata iyo vits isiwe ile Rs
Tatizo gari ziko Mwanza πππ kwa dar es salaam hapa hio gari huziwi chini ya 6.5M
Mfolow huyo jamaa hutakosa gari kali kwa bei poaa
sasa mwanza mpaka hapa si chap tu jamaa anakuleteaTatizo gari ziko Mwanza πππ kwa dar es salaam hapa hio gari huziwi chini ya 6.5M
Gari nzuri uione kwa macho! Gari ya picha kuifanyia maamuzi unaweza kuja kugombana na aliyeileta tusasa mwanza mpaka hapa si chap tu jamaa anakuletea
Hatari zile πZile za AC unaganda πππππ
Mimi dalali na Suzuki swift na vitz new model kwa bei iyoHabarini.
Bado ninahitaji gari used toka kwa mmiliki yeyote mwenye Vitz, Suzuki Jimny, IST au Suzuki swift.
Budget yangu ni 6m
Ni pm tuyajenge mkuuMimi dalali na Suzuki swift na vitz new model kwa bei iyo
weka pichaMimi dalali na Suzuki swift na vitz new model kwa bei iyo