The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,993
- 2,635
Ha ha ha ha ha hao huwa siwatakagi kabisa
Kuna mmoja niliwahi mpigia tuonane akasema hana nauli nimtumie, mm sikumtumia after 10 minutes nika m sms niko maeneo fulani nakula ile nyama yetu pendwa nimeagiza kilo nikijua anakuja, alivyo sikia hivyo akasema anakuja nikazima cm nikaendelea na mambo yangu
Wew una mpango gan na nauli...eeeh
Ameandika katika kigezo chake namba 1
ukiniona utakubali tuuNani kakudanganya wewe handsome?
yeshandsome ?
pupuchi nachapa sana mkuu, huku mtaani wake za watu wananisumbua balaa
Hii ingekua kweli usingehangaika kuja kutafuta mchumba jfpupuchi nachapa sana mkuu, huku mtaani wake za watu wananisumbua balaa