Nahitaji godauni (Godown)la kupangisha Zanzibar

Nahitaji godauni (Godown)la kupangisha Zanzibar

Baba Ndubwi

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2013
Posts
1,223
Reaction score
1,992
Wakuu kherii.

Ninahitaji godauni la kupangisha hapa Zanzibar.

Liwe la mita 100-120 bila kujali upana ni ngapi mita.

Lisiwe mbali saana na mjini kati.

Mwenye kufahamu mahali laweza patikana au kama unalo tuwasiliane kwa PM.

Karibuni.
 
Back
Top Bottom