Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,223
- 1,992
Wakuu kherii.
Ninahitaji godauni la kupangisha hapa Zanzibar.
Liwe la mita 100-120 bila kujali upana ni ngapi mita.
Lisiwe mbali saana na mjini kati.
Mwenye kufahamu mahali laweza patikana au kama unalo tuwasiliane kwa PM.
Karibuni.
Ninahitaji godauni la kupangisha hapa Zanzibar.
Liwe la mita 100-120 bila kujali upana ni ngapi mita.
Lisiwe mbali saana na mjini kati.
Mwenye kufahamu mahali laweza patikana au kama unalo tuwasiliane kwa PM.
Karibuni.