Nahitaji godauni (Godown)la kupangisha Zanzibar

Baba Ndubwi

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2013
Posts
1,223
Reaction score
1,992
Wakuu kherii.

Ninahitaji godauni la kupangisha hapa Zanzibar.

Liwe la mita 100-120 bila kujali upana ni ngapi mita.

Lisiwe mbali saana na mjini kati.

Mwenye kufahamu mahali laweza patikana au kama unalo tuwasiliane kwa PM.

Karibuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…