Baba Ndubwi JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 1,223 Reaction score 1,992 Aug 22, 2022 #1 Wakuu kherii. Ninahitaji godauni la kupangisha hapa Zanzibar. Liwe la mita 100-120 bila kujali upana ni ngapi mita. Lisiwe mbali saana na mjini kati. Mwenye kufahamu mahali laweza patikana au kama unalo tuwasiliane kwa PM. Karibuni.
Wakuu kherii. Ninahitaji godauni la kupangisha hapa Zanzibar. Liwe la mita 100-120 bila kujali upana ni ngapi mita. Lisiwe mbali saana na mjini kati. Mwenye kufahamu mahali laweza patikana au kama unalo tuwasiliane kwa PM. Karibuni.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Aug 23, 2022 #2 Ngoja waje kukupa muongozo...