Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Mimi nina mpango wa kuoa mke anayefanya shughuli kama hizo. Ngoja nkayajenge pm na huyo bidada.Kama kuna watu nisiowaaamini asilimia 100 ni wewe aisee. Michango yako tu inadhihirisha wewe ni nani, wadau kuweni makini na huyu dada ni wale wanakusanya taarifa za watu wa kuwapelekea kunakojulikana.
Kinyume kwa kunakojulikana kutakuhusu. Safari njema mkuu, usitusumbue kukutafta.Mimi nina mpango wa kuoa mke anayefanya shughuli kama hizo. Ngoja nkayajenge pm na huyo bidada.
Asante sana mkuuKinyume kwa kunakojulikana kutakuhusu. Safari njema mkuu, usitusumbue kukutafta.
Soma tena nimeshawekaUngeweka tu hapa watu wakajimwaga kukushauri
Nawe ukachukua ushauri wa watu ambao unaona unafaaa kwako
Soma tena nimeshawekaKaa na matatizo yako mkuu,kipimo cha u grreater thinker unanikijuaje pm?Basi ungewapm mjadili.
Soma tena nimeshawekaFungua id mpya uombe ushauri kama unaogopa kuomba kwa id hio..
Halafu ungespecify maada maana hakuna mtu ambaye yupo perfect kwenye kila kitu..
Kama ni ushauri wa kidaktari watu tuje pm fasta au kama ni ushauri wa kimapenzi wakina gudume waje ..
Au kama ni mambo ya uchawi na matunguli mshana aje..
Soma tena nimeshawekaKama kuna watu nisiowaaamini asilimia 100 ni wewe aisee. Michango yako tu inadhihirisha wewe ni nani, wadau kuweni makini na huyu dada ni wale wanakusanya taarifa za watu wa kuwapelekea kunakojulikana.
Soma tena nimeshawekanimewahi seat unasemaje kijana ila huko inbox ndio hawataona in utani?
Soma tena nimeshawekaHahaha ma GREAT THINKER wanajukwaa lao wafuate kule.