Nahitaji gunia 110 za vitunguu maji vilivyokauka vizuri

Nahitaji gunia 110 za vitunguu maji vilivyokauka vizuri

Scoob102

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2014
Posts
318
Reaction score
387
Nahitaj vitunguu maji vilivyokauka vizuri kwa ajili ya kusafirisha.

Kwa sasa nitachukua gunia/net 110 ila ikifika nitarudia ingine. So nahitaj wale wenye kulima kitunguu ya kutosha na sio wa gunia 10 kumi. Kitunguu iwe ya hiv karibu na iwe na rangi nyekundu nzuri.

Sehemu ilipo iwe inapitika vzr kwa Tandam na kusiwe na milima tatizo.

Dalali usipandishe bei tafadhali, nitakulipa pesa yako ya udalali bila shida yoyote.
 
Weka namba yako nikuunganishe na mkulima yupo Kilosa ana gunia nyingi sana
 
Habari mkuu
Nahitaj kitunguu maji iliyokauka vzr kwa ajili ya kusafirisha. Kwa sasa nitachukua gunia/net 110 ila ikifika nitarudia ingine. So nahitaj wale wenye kulima kitunguu ya kutosha na sio wa gunia 10 kumi. Kitunguu iwe ya hiv karibu na iwe na rangi nyekundu nzuri.

Sehemu ilipo iwe inapitika vzr kwa Tandam na kusiwe na milima tatizo.

Dalali usipandishe bei tafadhali, nitakulipa pesa yako ya udalali bila shida yoyote.
Unaweza kupata hata zaidi ya hzo mm niko mboli wilaya ya Mpwapwa ,kuhusu usafiri hilo halina shnda na nikizuri kama unavyo hitaji.tafadhali tunaweza kuwasiliana kwa 0627471648
 
Nahitaj kitunguu maji iliyokauka vzr kwa ajili ya kusafirisha. Kwa sasa nitachukua gunia/net 110 ila ikifika nitarudia ingine. So nahitaj wale wenye kulima kitunguu ya kutosha na sio wa gunia 10 kumi. Kitunguu iwe ya hiv karibu na iwe na rangi nyekundu nzuri.

Sehemu ilipo iwe inapitika vzr kwa Tandam na kusiwe na milima tatizo.

Dalali usipandishe bei tafadhali, nitakulipa pesa yako ya udalali bila shida yoyote.
Utapata bila shida yoyote. Kitunguu ni kizuri sana, kipo mang'ola Karatu, tuwasiliane 0624889361 tufanye biashara.
 
Nahitaj kitunguu maji iliyokauka vzr kwa ajili ya kusafirisha. Kwa sasa nitachukua gunia/net 110 ila ikifika nitarudia ingine. So nahitaj wale wenye kulima kitunguu ya kutosha na sio wa gunia 10 kumi. Kitunguu iwe ya hiv karibu na iwe na rangi nyekundu nzuri.

Sehemu ilipo iwe inapitika vzr kwa Tandam na kusiwe na milima tatizo.

Dalali usipandishe bei tafadhali, nitakulipa pesa yako ya udalali bila shida yoyote.
Cha Singida vp mkuu
 
Habari mkuu

Unaweza kupata hata zaidi ya hzo mm niko mboli wilaya ya Mpwapwa ,kuhusu usafiri hilo halina shnda na nikizuri kama unavyo hitaji.tafadhali tunaweza kuwasiliana kwa 0627471648
Mboli nilikuwa hapo miez 2 iliyopita. Kwa sasa bei ikoje??
 
Mkuu hata usihangaike kitunguu nzuri ipo Mpwapwa na hata hivi sasa kuna nyingine ndio kwanza inatoka shambani nitafute tufanye biashara utafurahi 0627471648
 
Changamkieni fursa hiyo ndugu zangu wa vitunguu
 
Nahitaj vitunguu maji vilivyokauka vizuri kwa ajili ya kusafirisha.

Kwa sasa nitachukua gunia/net 110 ila ikifika nitarudia ingine. So nahitaj wale wenye kulima kitunguu ya kutosha na sio wa gunia 10 kumi. Kitunguu iwe ya hiv karibu na iwe na rangi nyekundu nzuri.

Sehemu ilipo iwe inapitika vzr kwa Tandam na kusiwe na milima tatizo.

Dalali usipandishe bei tafadhali, nitakulipa pesa yako ya udalali bila shida yoyote.
Mimi nauza vitungu niko kidete 0759055199
250k
 
Back
Top Bottom