Unaweza kupata hata zaidi ya hzo mm niko mboli wilaya ya Mpwapwa ,kuhusu usafiri hilo halina shnda na nikizuri kama unavyo hitaji.tafadhali tunaweza kuwasiliana kwa 0627471648Nahitaj kitunguu maji iliyokauka vzr kwa ajili ya kusafirisha. Kwa sasa nitachukua gunia/net 110 ila ikifika nitarudia ingine. So nahitaj wale wenye kulima kitunguu ya kutosha na sio wa gunia 10 kumi. Kitunguu iwe ya hiv karibu na iwe na rangi nyekundu nzuri.
Sehemu ilipo iwe inapitika vzr kwa Tandam na kusiwe na milima tatizo.
Dalali usipandishe bei tafadhali, nitakulipa pesa yako ya udalali bila shida yoyote.
Utapata bila shida yoyote. Kitunguu ni kizuri sana, kipo mang'ola Karatu, tuwasiliane 0624889361 tufanye biashara.Nahitaj kitunguu maji iliyokauka vzr kwa ajili ya kusafirisha. Kwa sasa nitachukua gunia/net 110 ila ikifika nitarudia ingine. So nahitaj wale wenye kulima kitunguu ya kutosha na sio wa gunia 10 kumi. Kitunguu iwe ya hiv karibu na iwe na rangi nyekundu nzuri.
Sehemu ilipo iwe inapitika vzr kwa Tandam na kusiwe na milima tatizo.
Dalali usipandishe bei tafadhali, nitakulipa pesa yako ya udalali bila shida yoyote.
Cha Singida vp mkuuNahitaj kitunguu maji iliyokauka vzr kwa ajili ya kusafirisha. Kwa sasa nitachukua gunia/net 110 ila ikifika nitarudia ingine. So nahitaj wale wenye kulima kitunguu ya kutosha na sio wa gunia 10 kumi. Kitunguu iwe ya hiv karibu na iwe na rangi nyekundu nzuri.
Sehemu ilipo iwe inapitika vzr kwa Tandam na kusiwe na milima tatizo.
Dalali usipandishe bei tafadhali, nitakulipa pesa yako ya udalali bila shida yoyote.
Mboli nilikuwa hapo miez 2 iliyopita. Kwa sasa bei ikoje??Habari mkuu
Unaweza kupata hata zaidi ya hzo mm niko mboli wilaya ya Mpwapwa ,kuhusu usafiri hilo halina shnda na nikizuri kama unavyo hitaji.tafadhali tunaweza kuwasiliana kwa 0627471648
Naongea na wadau ntakurudiaNi sawa. Unaongelea Singida sehem gan maana nami kwa sasa nipo Singida. Bei vip kwa Net?
Ninavyo vitunguuu nimeweka kwenye kichanja napatikana Morogoro : 0763140062Changamkieni fursa hiyo ndugu zangu wa vitunguu
Unauzaje?Nina vitunguu maji gunia 300 ,nichek 0758123124
Mimi nauza vitungu niko kidete 0759055199Nahitaj vitunguu maji vilivyokauka vizuri kwa ajili ya kusafirisha.
Kwa sasa nitachukua gunia/net 110 ila ikifika nitarudia ingine. So nahitaj wale wenye kulima kitunguu ya kutosha na sio wa gunia 10 kumi. Kitunguu iwe ya hiv karibu na iwe na rangi nyekundu nzuri.
Sehemu ilipo iwe inapitika vzr kwa Tandam na kusiwe na milima tatizo.
Dalali usipandishe bei tafadhali, nitakulipa pesa yako ya udalali bila shida yoyote.