Nahitaji hizi Simu

Nahitaji hizi Simu

Tumsifu Samwel

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2007
Posts
1,407
Reaction score
161
Katika pita pita zangu kwenye mtandao nimekutana na hii link hapa chini

productimg1258041639221.jpg

productimg1258041641935.jpg

productimg1258041645575.jpg

productimg1258041648144.jpg

productimg1258041693054.jpg

productimg1258041695169.jpg


na

b18ffb42a8aad6adf825004b3a19db02.jpg

89ede5d909a36d087c89badff14d0650.jpg

e0e526f2a7dae8cb8ef318348ea72113.jpg

3e8c5b604a180a6fddb0c965fb4b49ca.jpg

ambayo unajishughulisha na uzaaji wa vifaa mbali mbali zikiwemo simu kwa bei ya chini sana ambayo sina uakika kama ni kweli au ni utapeli tu...Wadau wa JF naomba mcheck huu mtandao then mniambia kama nina weza kufanya nao biashara. nitashukuru sana kwa maelezo yanu.
 
Mkuu,asante kwa kunitaarifu nimekutana na ujumbe huu "Notice: it is not the original, made in China. it has no WIFI.can`t work on 3G net
productimg1257867576633.jpg

"
 
Full Chinese mkuu, yani hapo haina kuuliza, bei zenyewe mpaka unacheka.

Vitu genuine hivi hapa:

multi_device_uk.jpg


Tembelea http://uk.blackberry.com/ utapata bei za ukweli, kisha hata ukienda dukani huwezi kudanganywa!
 
hizo nizakichina kkoo zipo kibao mkuu ukipata za kwao toleo lakwanza zinakuwa nzuri sana yani
 
Mchina anatawala sasa soko la dunia kwa kila kitu na quality tofauti!
 
Back
Top Bottom