Nahitaji iphone 4

Easymutant

R I P
Joined
Jun 3, 2010
Posts
2,564
Reaction score
1,133
Mwenye kujua wapi naweza kupata iphone 4 ya 16GB ani pm nataka mpya ..
slightly used sijui used from Gongo la mboto sizitaki
 
naunza iphone 4 mpya kabisa bei Tshs 1,400,000/=...kama utafika bei tuwasiliane.
 
Kama uko tayari kutoa 1.4 million kwa ajili ya IPHONE 4 let me know......
 
@tzjaman du! Hapo ni eBAY sasa!cpat pcha!
 
Hii wakuu nisaidieni kujua IPHONE 4 inafanya kazi na mitandao gani ya Tanzania?
 
Hii wakuu nisaidieni kujua IPHONE 4 inafanya kazi na mitandao gani ya Tanzania?

we hujui unataka nini... yaani unauliza swali linaloonyesha hujawahi kuwa na simu..iphone 4 and the like ni simu kama simu zingine tu...the only difference ni kuwa inatumia micro sim card
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…