Ni kijana wa chuo mwaka wa kwanza
Nimejihusha kwenye comedy hii
Nilifanya siku moja chuoni kila mtu aliipenda
Kwa sasa nimeamua kuingia moja kwa moja katika comedy hii
Kila siku najifunza vipya kutoka
Kenya
Nigeria
Marekani
Hapa Tanzania kwetu
Kwa sasa najiona nipo vizuri
Tatizo ni bado mdogo sana ,sijulikani,sijui hata stage nitaipata wapi,
Natamani atokee mtu yeyote anisapoti kwa hili
Nina imani ataipenda kwakweli
Nipo creative na hii sanaa
Nina jokes nyingi
Sina sapoti
Au kama kuna pati yeyote niitwe nafanya hata bure ili unione
Ukinisapoti wewe Nina uhakika na faida utapata kwa hili
Jaribu kunisapoti utaipenda kwakweli
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejihusha kwenye comedy hii
Nilifanya siku moja chuoni kila mtu aliipenda
Kwa sasa nimeamua kuingia moja kwa moja katika comedy hii
Kila siku najifunza vipya kutoka
Kenya
Nigeria
Marekani
Hapa Tanzania kwetu
Kwa sasa najiona nipo vizuri
Tatizo ni bado mdogo sana ,sijulikani,sijui hata stage nitaipata wapi,
Natamani atokee mtu yeyote anisapoti kwa hili
Nina imani ataipenda kwakweli
Nipo creative na hii sanaa
Nina jokes nyingi
Sina sapoti
Au kama kuna pati yeyote niitwe nafanya hata bure ili unione
Ukinisapoti wewe Nina uhakika na faida utapata kwa hili
Jaribu kunisapoti utaipenda kwakweli
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app