Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia mkoa Gani....Upo sehemu Gani?
Karanga Kwa gunia unatoa sh ngp? Mbaazi Kwa Kg 1 sh ngp?
Taarifa kama hizo ndo za muhimu
Location wapi? Onyesha destination pointNahitaji mkulima au mfanyabiashara wa nafaka wa mbaazi au karanga mwenye stock kubwa,tufanye biashara check me
Zipo tayariMbaazi msimu bado
Unapatikana wapi?Nahitaji mkulima au mfanyabiashara wa nafaka wa mbaazi au karanga mwenye stock kubwa,tufanye biashara check me
Dar es salaamLocation wapi? Onyesha destination point
Vyote mm ninavyo lkn ujasema unanunua shiringi ngap per 1 kilo na izo mbaazi na karanga unataka gunia ngap
Vyote mm ninavyo lkn ujasema unanunua shiringi ngap per 1 kilo na izo mbaazi na karanga unataka gunia ngap
Dar es salaam mkuu kam kwel unazo check thr msg tuongee biashara mkuuUnapatikana wapi?
Check me thr msg broh tuongee biashara kam kwel unazoVyote mm ninavyo lkn ujasema unanunua shiringi ngap per 1 kilo na izo mbaazi na karanga unataka gunia n
Kila la kheri