Mkame_
Member
- Aug 8, 2020
- 11
- 21
Habari wakuu, naamini JF ina watu muhimu na makini sana kwa nchi hii.
Mimi nafanya kazi katika Auditing firm hapa dar es salaam kama Tax Accountant, lakini pia nafanya external Audit maana ukiwa firm ndogo unafanya majukumu mengi zaidi.
Kwasababu za kifamilia nalazimika kuwa Mwanza.
Hivyo nipo mbele yenu kuomba kazi Mwanza.
Elimu: BSc. Taxation - IFM, CPA (in progress Intermediate).
Experience : 2 years (Auditing Firm, 5 months bank)
Post : Accountant, Tax Consultant, Auditor
Natanguliza shukurani zangu za dhati.
Mimi nafanya kazi katika Auditing firm hapa dar es salaam kama Tax Accountant, lakini pia nafanya external Audit maana ukiwa firm ndogo unafanya majukumu mengi zaidi.
Kwasababu za kifamilia nalazimika kuwa Mwanza.
Hivyo nipo mbele yenu kuomba kazi Mwanza.
Elimu: BSc. Taxation - IFM, CPA (in progress Intermediate).
Experience : 2 years (Auditing Firm, 5 months bank)
Post : Accountant, Tax Consultant, Auditor
Natanguliza shukurani zangu za dhati.