B Besh_uni New Member Joined Sep 14, 2024 Posts 1 Reaction score 0 Oct 11, 2024 #1 Habari za asubuhi wakuu. Nahitaji Kidney Beans kwa wingi. Mfanyabiashara au mkulima mwenye kidney beans ile kubwa anicheki tufanye biashara. Iwe safi na nene. Kwa kuanzia inahitajika tani 60, ila yakiwa bora basi tunaendelea kufanya biashara kwani tunahitaji zaidi ya tani 200. Naomba ofa yako na eneo ulipo kwani tutafuata mzigo wenyewe. Asanteni.
Habari za asubuhi wakuu. Nahitaji Kidney Beans kwa wingi. Mfanyabiashara au mkulima mwenye kidney beans ile kubwa anicheki tufanye biashara. Iwe safi na nene. Kwa kuanzia inahitajika tani 60, ila yakiwa bora basi tunaendelea kufanya biashara kwani tunahitaji zaidi ya tani 200. Naomba ofa yako na eneo ulipo kwani tutafuata mzigo wenyewe. Asanteni.