Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja madalali wa Jf waje ila kwa hayo maeneo kwa pesa hiyo ukipata na mie nistueWakuu,
Nina shida ya kiwanja kiwe kuanzia maeneo Maramba, Salasala kuelekea Bunju au Kibamba ila kusiwe ndani ndani sana.
Viwanja vya goba kuwa navyo makini sana ,viwanja vingi vimo ukanda wa maji, msimu wa Mvua hugeuka matesoNahitaji kiwanja goba
Ongeza Hela kidgo, nikupe kiwanja Machimbo, 15 to 20 minutes from Magufuli terminal. Mji umejengeka, kina Mita 17 kwa 17. Ukiw serious tunaweza wekakataba ulipe kwa installment, tema msimu wa mvua njoo ukikagueWakuu,
Nina shida ya kiwanja kiwe kuanzia maeneo Maramba, Salasala kuelekea Bunju au Kibamba ila kusiwe ndani ndani sana.
Eneo linaitwaje mkuu? na ukubwa wake upoje?Ongeza Hela kidgo, nikupe kiwanja Machimbo, 15 to 20 minutes from Magufuli terminal. Mji umejengeka, kina foot 20 kwa foot 20. Ukiw serious tunaweza wekakataba ulipe kwa installment, tema msimu wa mvua njoo ukikague
Karibu
Mbona nimeandika hapo details zote, otherwise check Pm nakupa number upige kwa maulizo zaid..Eneo linaitwaje mkuu? na ukubwa wake upoje?
Weka namba ya simu kaka, viwanja vipo bunju kwa bei hiyo.Wakuu,
Nina shida ya kiwanja kiwe kuanzia maeneo Maramba, Salasala kuelekea Bunju au Kibamba ila kusiwe ndani ndani sana.