Newcastle1234
Member
- Oct 29, 2022
- 67
- 147
🤣🤣*****60 hupati kiwanja andaa 100 kuendelea Mbweni Malindi ila JKT anzia 300
Hela hiyo umeipata kwenye aviator mkuu?Natafuta kiwanja Mbweni.
Bajeti yangu Mil.60.
Ukubwa at least 900sqm
SITAKI MADALALI.
Kwa mmiliki au anaemfahamu mmiliki anitumie picha na location kwenye WHATSAPP 0788 893364.
Just Whatsapp. NO CALLS
Mbweni hazifanani... plot za 60m zipo, unapata square meter 600-800 hiviKwa Mbweni hiyo hela ndogo, Kama una 100M sasa hivi unapata hicho kiwanja huko Mbweni
Yeye anataka 900sqm sasaMbweni hazifanani... plot za 60m zipo, unapat square meter 600-800 hivi
Anaweza akapata.... watu wakishaona hela huwa wananyweaYeye anataka 900sqm sasa