Nahitaji kontena used

nyumbatatu

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
1,076
Reaction score
939
Habari wana JF, nahitaji contena used refu kwa ajili ya biashara. Lakini sijui yanapatikanaje na kwa bei gani?. Nipo dar kwa sasa. Mwenye taarifa naomba anijuze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…