nahitaji kua na galfriend ila nashindwa

wewe unatongoza ambao sio level zako
ndo maana unakataliwa
hebu shuka chini
anza na akina mama ntilie hivi wa maeneo ya kwenu upate uzoefu.....

Bosss!!

Najua uanataka dogo ..awe mtundu kidogo ..... lakini noo just too low!!
 

Ngosha ,

Nisikilize kwa Makini...

1. Kila kijana akiwa na umri huo anakuwa na ufahamu wa kutaka kudadisi na kujua zaidi kuhusu mahusiano na mtu wa jinsia tofautu...hiyo ni kawada na hakuna shaka juu ya hilo na unavyojihisi.

2. Kama unaweza kuwa na msichana na makwa marafiki tu ...hiyo ni ishara kuwa wewe ni sawa kabisa... Na kama unahitaji kupitiliza na unajikuta haiwezekani ..Mshukuru Mungu .. kwani... Ufahamu wako unakulinda usianze kuujua unadani wa mahusiaano kwani uanweza kukukwamisha kwenye maendeelo ya maisha yako... Hii hutafautiana kwa mtu hadi mtu ... Hii kwako ni bahati kubwa.

3. Kuwa makini usijihisi kujilaumu wala kujichukla na kujitilia shaka juu ya uwezo wako wa kiuma ..uko sawa sana... Hivyo ondoa hisia za kujichukia, kujishuku, kuwa na wasiwasi wowote ...maana hisia hizi zitakuharibia .... Maisha yako ....wakati wewe ni Mtu safi tu...Chapa kitabu ..kuwa na Marafiki wa kike ...rafiki wa kina atajitokez a..mwenyewe tu ...na usuharakishe ...kuwa na sexual realtion ...kuwa na moyo mkuu ..hiyo itajitokeza Tu kama ni mtu sahihi ... Muda sahihi ... na Kama hali ni timilifu ....wala hakuna pupa!!
 
Jamaa inaonekana boom lake hapendi kuligawa kwa watoto! Wengine huwa wakitoka out (au hata kama imetokea mko na dent wa chuo pamoja mnakula msosi) unamlipia! Ikifika wiki mbili tu boom kwishney!
<br />
<br />
it's nt like u thnk! I spend whenever i have to, with anyone and stil i got enough for charity works. Hey, nt everyone depends on heslb bro!
 
<br />
<br />
thanks bro! I wil cal it a day!
 
<br />
<br />
thanks bro! We dini gani? Nimependa sana ushauri wako, nitaku pm
 
wewe unatongoza ambao sio level zako<br />
ndo maana unakataliwa<br />
hebu shuka chini<br />
anza na akina mama ntilie hivi wa maeneo ya kwenu upate uzoefu.....
<br />
<br />
ngoja nikupe orodha
1. Mwanafunzi mazinde juu
2. Mwanafunzi muccobs
3. Mfanyakazi wa hotel mwanza
4. Mwanafunzi Geita
5. Bank teller shinyanga
6. Mfanyakazi wa stationary moshi
7. Mwanafunzi dom sec
8. Mfanyakazi wa internet cafe dodoma
9. Barmaid morogoro
10. My classmate chuo
11. Mwanafunzi diploma social work
12. Mwanafunzi 1yr st joseph
13. Mwanafunzi 1yr saut
14. Mwanafunzi mbezi sec
15. Mwanafunzi hazina
16. Mwanafunzi cbe 2nd yr
17. Mfanyakazi wiraza ya ardhi
18. Mwalimu shule ya msingi mwanza
19. Mwanafunzi ucc
20. Model
21. Mwanafunzi 1st yr udom
22. .....the list goes on
 


yaani hao wote mpaka barmaid akukatae?
basi we una tatizo lingine aisee
labda ungeenda kuombewa kwanza sio bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…