Nahitaji Kuanza na Kreti Ngapi za Bia?

Nahitaji Kuanza na Kreti Ngapi za Bia?

Mgibeon

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2011
Posts
11,308
Reaction score
21,507
Mu-hali gani wakuu??? Maisha magumu sana, kila kukicha mambo yanazidi kuwa magumu, nilifanikiwa kuanzisha ki'biashara flani (maji na juice kwa jumla) hapo Dar ila mimi nilikua mkoani naongeza kisomo kidogo ila kama mjuavyo tena USIMAMIZI Ulikua mgumu sana kutokana na umbali hivyo nikajikuta nadhulumika tu.

Sijakata tamaa, kwa sasa nina vijesenti kidogo( 7mil ), nafikiria nikurudi(mid-july 2013) nije nihamie katika biashara ya kuuza bia kwa jumla, sasa uhitaji wangu ni kufahamu kreti ngapi zinatosha kupewa idhini na baraka kutoka kwa wazalishaji...

Kuhusu eneo nategemea kujichanganya kati ya kinondoni, kimara au kunduchi.. Nisaidieni tafadhari.
 
Kupata access na wazlishaji ni mpaka uwe na mtaji mkubwa kama 50mill na zaidi, na eneo liwe na demand na usiwe competitor kwa distributor wa eneo hilo.

Unaweza ukaanza hata na millioni 1 ila tu uwe unachukulia kwa hao distributors wakubwa ambao kama faida ni 800 kwa kreti yeye anakuachia mia 4 hadi mia 5 kutokana na maelewano yenu.
 
Kupata access na wazlishaji ni mpaka uwe na mtaji mkubwa kama 50mill na zaidi,na eneo liwe na demand na usiwe competitor kwa distributor wa eneo hilo.
Unaweza ukaanza hata na millioni 1 ila tu uwe unachukulia kwa hao distributors wakubwa ambao kama faida ni 800 kwa kreti yeye anakuachia mia 4 hadi mia 5 kutokana na maelewano yenu.

Thanx much Mkuu! Nimepata picha!
 
Kupata access na wazlishaji ni mpaka uwe na mtaji mkubwa kama 50mill na zaidi,na eneo liwe na demand na usiwe competitor kwa distributor wa eneo hilo.
Unaweza ukaanza hata na millioni 1 ila tu uwe unachukulia kwa hao distributors wakubwa ambao kama faida ni 800 kwa kreti yeye anakuachia mia 4 hadi mia 5 kutokana na maelewano yenu.

Mkuu hao distributors utawajuaje? manake mjini unakuta watu kibao tu wanauza hivi vinywaji kwa jumla so kumjua yupi ni distributor na yupi ni muuzaji wa kawaida wa jumla inakuwa ngumu sana. Bahati mbaya haya makampuni sijui hata websites hawana!
mi natafuta kufua distributors wa iringa mjini, na wa morogoro mjini , kama unawajua nijuze tafadhali.
 
Ushauri wangu kwa pesa ulikuwa nayo na sehemu kama ni nzuri na kunawateja wa kutosha ungeanza na grocery inalipa sana na ungechanganya mahitaji yanayotakiwa kwenye grocery utapiga pesa mbaya then mtaji ukipanda ukihamia kwenye mahitaji ya jumla siyo mbaya.
 
mkuu hao distributors utawajuaje? manake mjini unakuta watu kibao tu wanauza hivi vinywaji kwa jumla so kumjua yupi ni distributor na yupi ni muuzaji wa kawaida wa jumla inakuwa ngumu sana. Bahati mbaya haya makampuni sijui hata websites hawana!
mi natafuta kufua distributors wa iringa mjini, na wa morogoro mjini , kama unawajua nijuze tafadhali.

njoo PM
 
mkuu hao distributors utawajuaje? manake mjini unakuta watu kibao tu wanauza hivi vinywaji kwa jumla so kumjua yupi ni distributor na yupi ni muuzaji wa kawaida wa jumla inakuwa ngumu sana. Bahati mbaya haya makampuni sijui hata websites hawana!
mi natafuta kufua distributors wa iringa mjini, na wa morogoro mjini , kama unawajua nijuze tafadhali.

Sifa kuu ya kumtambua huyu ni distributor wa Tbl,ni lazima awe ana letewa bia na magari ya tbl moja kwa moja toka kiwandani,pili bei zake lazima ziwe chini kidogo kulinganisha na wengine,kwani hata hao wauzaji wengine wananunua toka kwake,ndio maana ina bidi waongeze japo 300,kwa kila kinywaji watakacho uza.
 
Sifa kuu ya kumtambua huyu ni distributor wa Tbl,ni lazima awe ana letewa bia na magari ya tbl moja kwa moja toka kiwandani,pili bei zake lazima ziwe chini kidogo kulinganisha na wengine,kwani hata hao wauzaji wengine wananunua toka kwake,ndio maana ina bidi waongeze japo 300,kwa kila kinywaji watakacho uza.

nashukuru mkuu, itabidi nifanye kazi ya ziada kidogo kupambanua yupi ni yupi, hasa kwa kuzingatia vigezo ulivyotajwa - vya kuletea na magari ya tbl pamoja na kulinganisha bei
 
Mu-hali gani wakuu??? Maisha magumu sana, kila kukicha mambo yanazidi kuwa magumu, nilifanikiwa kuanzisha ki'biashara flani (maji na juice kwa jumla) hapo dar ila mimi nilikua mkoani naongeza kisomo kidogo ila kama mjuavyo tena USIMAMIZI Ulikua mgumu sana kutokana na umbali hivyo nikajikuta nadhulumika tu.

Sijakata tamaa, kwa sasa nina vijesenti kidogo( 7mil ), nafikiria nikurudi(mid-july 2013) nije nihamie katika biashara ya kuuza bia kwa jumla, sasa uhitaji wangu ni kufahamu kreti ngapi zinatosha kupewa idhini na baraka kutoka kwa wazalishaji...

Kuhusu eneo nategemea kujichanganya kati ya kinondoni, kimara au kunduchi.. Nisaidieni tafadhari,

Mi nakushauri achana na wazo la kuiza bia!
Soft drink zina hela kuliko ulevi!
Kwanza ni dhambi!( usije ntukana tu hapa)
Halafu si wote wana uwezo wa kununua bia!
Soft drink kama zile juice ndogondogo zinauzwa kama karanga!
Wee ni kutafuta eneo. Halafu kamuone bakhresa!
Hana hiyana atakupa u agency tu!
Unapiga hela kwa tartiiiibu bila jasho kubwa na bila dhambi!
Ni hayo tu.
 
Kwa upande wa morogoro me naweza kukusaidia na iringa sema unataka kuwa distributor wa campuni gani tbl au serengeti send me ur namba

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kwa upande wa morogoro me naweza kukusaidia na iringa sema unataka kuwa distributor wa campuni gani tbl au serengeti send me ur namba

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

hivi hii biashara ni siri sana eeh! manake yule alisema PM na wewe umekuja kivingine kabisa hapo red! si umwage hapa jamani watu wengi wanufaike?
 
Naomba kufaham bei za kreti za bia tofauti tofauti kutoka kwa wauzaji wa jumla.ntashukuru
 
Naomba kufaham bei za kreti za bia tofauti tofauti kutoka kwa wauzaji wa jumla.ntashukuru
 
Back
Top Bottom