federicofernandez
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 578
- 392
ambao hamjaelewa someni hii comment yahuyu jamaa, yy kanielewa.. ndio nataka nifanye hvy.. kiswahil nasahau kdgomaji ,juice, vocha ,sigara,viroba soda uapaa faida ata 10000 kwa siku kama sehemu ina mizunguko mingi ya watu maji aina zote 500-1500,soda creti 3,sigara vibox 4 apo SM,na sportsman,viroba apo konyagi original kulingana na hali halisi ya kipato kwa sasa juice unaweza chagua huu ndo msimu wa matunda maembe na mananasi mtaji una range kati ya 100000-200000 kamata fursa twenzetu.......
mafanikio mema ndugumimi huo mtaji nnao,ten nayak nitumie 500k kama mtaji
poa karbuUsisahau kueka mayai ya kuchemxha nitakua mteja wako nikipita na Vx yangu
ni Pm mkuu tuongee zaidiyani nataka ntafute kitu kama dell la maji barid hiv, na baadh ya vinywaji, yan kiwe kama kiosk flan hiv ambacho inaeza ikawa hata ni pemben ya barabara kama kuanzia tukikosa sehem ya frem
HATA MADEGREE HOLDER NAWAKARIBISHA MAANA HAWA WANAJIDAIGI HAWATAKI BIASHARA NDOGO////// [HASHTAG]#WALIO[/HASHTAG] ERIOUS KARIBUNI SANA
dar es salaamhaujasema upo mkoa gan,,sababu kila mkoa kunachangamoto zake,,sitegemei hyo biashara ya vinywaji baridi una plani ya kufanyia mkoa kama njombe hvi,,,,,
Uko mkoa gan tuone namna ya kushirikiana..nam nina wazo kama hilo hilo!yani nataka ntafute kitu kama dell la maji barid hiv, na baadh ya vinywaji, yan kiwe kama kiosk flan hiv ambacho inaeza ikawa hata ni pemben ya barabara kama kuanzia tukikosa sehem ya frem
HATA MADEGREE HOLDER NAWAKARIBISHA MAANA HAWA WANAJIDAIGI HAWATAKI BIASHARA NDOGO////// [HASHTAG]#WALIO[/HASHTAG] ERIOUS KARIBUNI SANA
npo darUko mkoa gan tuone namna ya kushirikiana..nam nina wazo kama hilo hilo!
Mi niko Singida vip usha .. Anza fanya hiyo mishe.. Kama ndio gharama zake mpka kuianza ni kama shi ngap vile!??npo dar