Nahitaji kuanzisha biashara ya Wakala wa LUKU, DSTV na M-Pesa, Ni vitu gani vinahitajika?!

Nahitaji kuanzisha biashara ya Wakala wa LUKU, DSTV na M-Pesa, Ni vitu gani vinahitajika?!

Nyalotsi

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
6,986
Reaction score
5,058
Nataka kufanya biashara hiyo hapo juu huku ninakoishi.

Kwa wazoefu;
Nahitaji kuwa na mtaji kiasi gani?
Vitu gani vingine vinahitajika?

Asanteni kwa mawazo yenu.
 
ukipata max malipo kwa huko ulipo labda itakufaa kwenye shughuli zako.
 
Back
Top Bottom