Nyalotsi JF-Expert Member Joined Jul 20, 2011 Posts 6,986 Reaction score 5,058 Jul 20, 2015 #1 Nataka kufanya biashara hiyo hapo juu huku ninakoishi. Kwa wazoefu; Nahitaji kuwa na mtaji kiasi gani? Vitu gani vingine vinahitajika? Asanteni kwa mawazo yenu.
Nataka kufanya biashara hiyo hapo juu huku ninakoishi. Kwa wazoefu; Nahitaji kuwa na mtaji kiasi gani? Vitu gani vingine vinahitajika? Asanteni kwa mawazo yenu.
niachiemimi JF-Expert Member Joined Feb 18, 2015 Posts 3,606 Reaction score 5,295 Jul 20, 2015 #2 ukipata max malipo kwa huko ulipo labda itakufaa kwenye shughuli zako.
Nyalotsi JF-Expert Member Joined Jul 20, 2011 Posts 6,986 Reaction score 5,058 Jul 20, 2015 Thread starter #3 niachiemimi said: ukipata max malipo kwa huko ulipo labda itakufaa kwenye shughuli zako. Click to expand... hii huwa inapatikana wapi i.e nani wahusika wake wakuu?
niachiemimi said: ukipata max malipo kwa huko ulipo labda itakufaa kwenye shughuli zako. Click to expand... hii huwa inapatikana wapi i.e nani wahusika wake wakuu?