Habari ya wakati mwema wanaJukwaa na hadhira kwa Ujumla
Nahitaji kuanzisha biashara Yangu binafsi ila kwa sasa nina mtaji wa 35000 na Biashara nataka iwe ya mtaji wa 500000 na Ntakamilisha iyo pesa mwezi huu mwishoni,Naomba ushauri Biashara gani nianzishe ili kujikuza Kimaisha
.....Asanteni na Mungu awabariki...