Habari waungwana !
hivi karibuni nilibahatisha kiwanja cha mawe ya chokaa(mgodi) ekari 50 nikakinunua kwa taratibu zote,sasa naomba wajasiriamali mnishauri juu ya uanzishaji kiwanda ,majhitaji ya mashine na je nazipataje ,au kama kuna mshauri mzuri(mtaalamu) na juu ya masoko.