Abby Senior
Senior Member
- Feb 14, 2015
- 154
- 60
Habari zenu wadau,
Ninaomba kufahamu bei za mafuta ya alizeti, nahitaji kwa wingi.
Ninaomba kufahamu bei za mafuta ya alizeti, nahitaji kwa wingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauza bei ghali mnoLita 20 kwa elfu 80, nakamua mwenyewe karibu pm..
Wapi huko?Huku kwetu ni 85,000 kwa lita ishirini welcome
Interested mkuu, mashine Iko Dom sehem Gani?Litre 20 Kwa 75000 nakamua mwnyw....Dom karibu
Lita 20 kwa Tsh 75,000, unahitaji kiasi gani?Habari zenu wadau,
Ninaomba kufahamu bei za mafuta ya alizeti, nahitaji kwa wingi.