ozadaxnowden
Member
- Sep 27, 2016
- 11
- 17
Habari wakuu,
Nahitaji kufahamu hili suala la kuweka tinted kioo cha mbele naona siku hizi imekuwa kama fashion hapa Dar.
Swali langu mnapambana vipi na hawa jamaa wanaovaa nguo nyeupe barabaran? Je, kuna Sheria yoyote inayokulinda kama dereva?
Nahitaji kufahamu hili suala la kuweka tinted kioo cha mbele naona siku hizi imekuwa kama fashion hapa Dar.
Swali langu mnapambana vipi na hawa jamaa wanaovaa nguo nyeupe barabaran? Je, kuna Sheria yoyote inayokulinda kama dereva?