Habarini wadau.
Napenda nifahamishwe zaidi kuhusu hii gari, kuna mtu anataka tufanye biashara. Kwa mnaozijua hizi gari zina changamoto gani na zina ubora au uzuri gani?!
View attachment 1637193View attachment 1637194View attachment 1637195View attachment 1637196View attachment 1637197View attachment 1637198View attachment 1637199View attachment 1637200View attachment 1637201
Mkuu, ilikugharimu kitita cha sh ngap kwa ujumla hadi ikatua hapai?Mkuu hii mashine naipa heshima nimeitumia miaka ya hapo nyuma ni gari nzuri na zaidi ya comfortable kama mfuko upo vema usiwaze hata mara mbili mbili chukua hiyo mashine angalizo usinunue ya bongo mengi yameshachoka sababu likianza kuumwa mfukoni uwe njema kulitibu. Usinunue from singapore mengi yanakuja na mechanical problems nyingi sanasana ukibagain chukua japan inakuwa rahic kidogo na isiwe imetembea km mingi sana kwenye cc hapo chaguo ni lako Mimi nilivuta from japan ikiwa na kms 63000 mpaka leo bado ni mbichi utafikir npya wazee wanavimbia moshi hu
Cha msingi anunue gari ikiwa nzima ataifurahia ila ikianza kero ya kuwasha dashboard checklights ataipenda.Kuna mdau anaitwa Extrovert ngoja aje, ameshaonya sana watu kuhusu magari ya mjerumani, natumaini mchango wake utakuonyesha upande wa mapungufu yake.
Anunue gari ingine tu...Kama mpaka nje ya nchi kashindwa kusaidikaWhile at it, kuna mtu anajua mafundi wa ECU maarufu kama control box? Kuna control box ya gari moja inasumbua na mmiliki katafuta replacement hadi nje ya nchi bila mafanikio. Nasikia huwa zinaweza kuwa reprogrammed so long as hazipo physically damaged.
Cc. Extrovert
Nasikia taa za dashboard huwa zinawaka kwa kupokezana kama zile taa za miti ya krismasi 😀Cha msingi anunue gari ikiwa nzima ataifurahia ila ikianza kero ya kuwasha dashboard checklights ataipenda.
Hahahah humo tena....Na huu msimu wa mvua ajiandaeNasikia taa za dashboard huwa zinawaka kwa kupokezana kama zile taa miti ya krismasi 😀