Nyam
Senior Member
- Jul 9, 2012
- 134
- 72
Mimi ni mwanajf, natamani sana kufanya biashara ya simu kutoka kwenye makampuni husika kwa njia ya mitandao kwa kutumia website zao zinazorushwa mitandaoni kwa njia ya matangazo ili niweze kuuza hapa nchini..Je inawezekana?? na kama inawezekana, nitapataje uhakika wa hayo makampuni??