Nahitaji kufanya biashara ya mbao

Nahitaji kufanya biashara ya mbao

Joined
Feb 23, 2025
Posts
5
Reaction score
3
Habari Wana JF; Nahitaji kufanya biashara ya kuuza mbao changamoto niliyonayo ni mtaji wangu mdogo je naweza kupata mkulima wa mbao wa kushirikiana nae? au mtu mwenye mtaji na nitakuwa nasimamia biashara na kugawana faida

Pia naombeni ushauri kwa wazoefu wa hii biashara namna bora ya kuiendesha, changamoto zake na jinsi ya kuhimili soko.
 
Habari Wana JF; Nahitaji kufanya biashara ya kuuza mbao changamoto niliyonayo ni mtaji wangu mdogo je naweza kupata mkulima wa mbao wa kushirikiana nae? au mtu mwenye mtaji na nitakuwa nasimamia biashara na kugawana faida

Pia naombeni ushauri kwa wazoefu wa hii biashara namna bora ya kuiendesha, changamoto zake na jinsi ya kuhimili soko.
Hujasema unataka kuuza kutoka mashambani na kuzisafirisha kwenda mjini au unataka kufungua duka la mbao mjini?
Sasa kuna watu nawaonaga wanajiunga kikundi wanachanga hela kisha wanakodi gari kwenda kuchukua mbao iringa kisha wakirudi wanagawana,ila kama unataka kufanya mchezo huu hakikisha hao watu unaochanga nao mnajuana vizuri na mnaaminiana vinginevyo hiyo pesa yako itapigwa fasta na kuyeyuka ndani ya sekunde tu kwenye hii sekta ina utapeli mwingi sana.
 
Hii biashara niliapa sitoifanya Tena kwa yaliyonikuta sahizi mtu akiingiza mjini roli lake la mbao mi namheshimu tu biashara ya madini nayo ilininyoosha ila nitarudi Tena.
Sipendi kumkatisha mtu tamaa maana mi pia nimefaulu kwenye biashara ambazo wengine wamefeli na nimefeli kwenye biashara ambazo wengine wamefaulu.

Kikubwa Fanya utafiti wa hiyo biashara wewe mwenyewe kutoka kwa wanaoifanya.
Ujue mbinu zao za halali na za nyuma ya pazia
 
Hii biashara niliapa sitoifanya Tena kwa yaliyonikuta sahizi mtu akiingiza mjini roli lake la mbao mi namheshimu tu biashara ya madini nayo ilininyoosha ila nitarudi Tena.
Sipendi kumkatisha mtu tamaa maana mi pia nimefaulu kwenye biashara ambazo wengine wamefeli na nimefeli kwenye biashara ambazo wengine wamefaulu.

Kikubwa Fanya utafiti wa hiyo biashara wewe mwenyewe kutoka kwa wanaoifanya.
Ujue mbinu zao za halali na za nyuma ya pazia
Kwanin hutoifanya Tena ulikumbana na nin
 
Hujasema unataka kuuza kutoka mashambani na kuzisafirisha kwenda mjini au unataka kufungua duka la mbao mjini?
Sasa kuna watu nawaonaga wanajiunga kikundi wanachanga hela kisha wanakodi gari kwenda kuchukua mbao iringa kisha wakirudi wanagawana,ila kama unataka kufanya mchezo huu hakikisha hao watu unaochanga nao mnajuana vizuri na mnaaminiana vinginevyo hiyo pesa yako itapigwa fasta na kuyeyuka ndani ya sekunde tu kwenye hii sekta ina utapeli mwingi sana.
Nafungua yard yangu mwenyewe
 
Hii biashara niliapa sitoifanya Tena kwa yaliyonikuta sahizi mtu akiingiza mjini roli lake la mbao mi namheshimu tu biashara ya madini nayo ilininyoosha ila nitarudi Tena.
Sipendi kumkatisha mtu tamaa maana mi pia nimefaulu kwenye biashara ambazo wengine wamefeli na nimefeli kwenye biashara ambazo wengine wamefaulu.

Kikubwa Fanya utafiti wa hiyo biashara wewe mwenyewe kutoka kwa wanaoifanya.
Ujue mbinu zao za halali na za nyuma ya pazia
Shukran mkuu ubarikiwe
 
njoo dm nikupe madini juu ya biashara hii ya mbao
Habari Wana JF; Nahitaji kufanya biashara ya kuuza mbao changamoto niliyonayo ni mtaji wangu mdogo je naweza kupata mkulima wa mbao wa kushirikiana nae? au mtu mwenye mtaji na nitakuwa nasimamia biashara na kugawana faida

Pia naombeni ushauri kwa wazoefu wa hii biashara namna bora ya kuiendesha, changamoto zake na jinsi ya kuhimili soko.
 
Habari Wana JF; Nahitaji kufanya biashara ya kuuza mbao changamoto niliyonayo ni mtaji wangu mdogo je naweza kupata mkulima wa mbao wa kushirikiana nae? au mtu mwenye mtaji na nitakuwa nasimamia biashara na kugawana faida

Pia naombeni ushauri kwa wazoefu wa hii biashara namna bora ya kuiendesha, changamoto zake na jinsi ya kuhimili soko.
Kumbe Sasa unatafuta tu kuajiriwaB bora ungefunguka moja kwa moja
 
Hii biashara niliapa sitoifanya Tena kwa yaliyonikuta sahizi mtu akiingiza mjini roli lake la mbao mi namheshimu tu biashara ya madini nayo ilininyoosha ila nitarudi Tena.
Sipendi kumkatisha mtu tamaa maana mi pia nimefaulu kwenye biashara ambazo wengine wamefeli na nimefeli kwenye biashara ambazo wengine wamefaulu.

Kikubwa Fanya utafiti wa hiyo biashara wewe mwenyewe kutoka kwa wanaoifanya.
Ujue mbinu zao za halali na za nyuma ya pazia
Kama hutojali ziweke wazi changamoto zake zilizokufelisha mkuu.
 
Back
Top Bottom