Miss kimaro
Member
- Jul 23, 2018
- 25
- 7
Habari zenu.....
Naitaji Msaada wa machimbo mazuri ya Vitenge kwa dar es salaam coz naitaji kufanya biashara ya Vitenge but sijajua niwapi nitapata Vitenge vizr na kwa bei nafuu naitaji Msaada wenu Sana Jamii na je nivitenge gani vipi kwenye soko kwa sasa??
Naitaji Msaada wa machimbo mazuri ya Vitenge kwa dar es salaam coz naitaji kufanya biashara ya Vitenge but sijajua niwapi nitapata Vitenge vizr na kwa bei nafuu naitaji Msaada wenu Sana Jamii na je nivitenge gani vipi kwenye soko kwa sasa??