Nahitaji kufanya biashara ya vitenge. Naomba maoni yenu Wadau

Nahitaji kufanya biashara ya vitenge. Naomba maoni yenu Wadau

Miss kimaro

Member
Joined
Jul 23, 2018
Posts
25
Reaction score
7
Habari zenu.....
Naitaji Msaada wa machimbo mazuri ya Vitenge kwa dar es salaam coz naitaji kufanya biashara ya Vitenge but sijajua niwapi nitapata Vitenge vizr na kwa bei nafuu naitaji Msaada wenu Sana Jamii na je nivitenge gani vipi kwenye soko kwa sasa??
 
Unataka kutoa vitenge wapi?

Unataka kuuzia wapi?

Maswali hayo mawili ukiyajibu ndo nitajua pa kuanzia kukushauri.
Naitaji kununua kwenye maduka ya jumla
Na kuviuza rejareja maeneo ya mbezi beach
 
Naitaji kununua kwenye maduka ya jumla
Na kuviuza rejareja maeneo ya mbezi beach
Unataka kuchuuza, sio kufanya biashara. Mungu akutangulie mdogo wangu, ila biashara hiyo huwa ina changamoto nyingi sana. My dear aliwahi fanya
 
Unataka kuchuuza, sio kufanya biashara. Mungu akutangulie mdogo wangu, ila biashara hiyo huwa ina changamoto nyingi sana. My dear aliwahi fanya
[emoji120][emoji15][emoji15] ivi kuuza na kufanya biashara kunatofauti eeee??
 
Habari zenu.....
Naitaji Msaada wa machimbo mazuri ya Vitenge kwa dar es salaam coz naitaji kufanya biashara ya Vitenge but sijajua niwapi nitapata Vitenge vizr na kwa bei nafuu naitaji Msaada wenu Sana Jamii na je nivitenge gani vipi kwenye soko kwa sasa??
Tafuta connection Kigoma soko LA mwanga kuna vitenge vya kutosha
 
Back
Top Bottom