Nahitaji kufuga Mbuzi, msaada wa kitaalam unahitajika

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
4,664
Reaction score
9,929
Heshima kwenu wadau
kijana wenu katika kuangalia fulsa nikapata wazo la kufuga mbuzi kwa sababu

1.eneo nililopo mbuzi wanapatikana kwa bei ya kawaida bei ambayo uyo mbuzi ukimpeleka umbali wa kilomite 20 kutoka nilipo faida yake shilingi 15 mpaka 20

2.nyama ya mbuzi inazidi kupanda bei kila siku.

hivyo basi nikapata wazo la kujenga banda nzuri la kisasa hapa nilipo nakuanza kuwa nakusanya mbuzi nakuweka mchungaji pindi tskapofikisha mbuzi wengi nipeleke sokoni

msaada naoitaji
je nifuge mbuzi wa aina gani
aina ipi ya lishe niwapatie ili wakue vizuri
je banda bora la mbuzi linaitajikaa kuwa na mbuzi wangapi

tashukuru kwa mchango wenu asanteni.
 

Beberu anakera sana akishajuwa kuna kabinti kwenye kundi kameshurufu, atakaandama hako usiku kucha,
"Bheeeeee bheeeeee bheeeeee bah bah bah bah, bruuuuh x1000. Tabia hii huleta usumbufu sana wa kelele kwa
Mfugaji na majirani wakati wa usiku wa manane! Unachotakiwa kufanya ni kumrambisha mavi ya mbuzi
kila saa nne usiku, hatosumbua hata! Atakesha amebinuwa kidomo chake juu kama kanusa papuchi.
 
  • Kuna mbuzi wa maziwa, tena nasikia kuwa maziwa yake ni dawa (sina uhakika);\
  • Pia kuna mbuzi wanaopatikana shinyanga wanaseme kuwa wanazaa mapacha;
Jaribu pia kulifanyia utafiti hilo.
 
sina uhakika kama una akili vizuri ?
 
thanks mkuu
Niliyotaka kukuwekea hasa ni hii nilikua nimeipoteza.
http://localhost.ucfly.com:8010/reformat/reformat/reformat.php?url=http%3A//www.snvworld.org/sites/www.snvworld.org/files/publications/goat_farming_as_a_business_-_a_farmers_manual.pdf&cookie=&referer=http%3A//www.sowpub.com/forum/archive/index.php%3Ft-8179-p-7.html&ln=en_US
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…