Nizhneserginsky
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 268
- 568
Habarini wanaJF,poleni na majukumu ya kila siku.
Nahitaji kufungua akaunti (saving A/c) Azania Bank, ningependa kufahamu gharama za uendeshaji kila mwezi, vile gharama za kutoa pesa ATM na kwa Mawakala.
Natanguliza shukrani.
Nahitaji kufungua akaunti (saving A/c) Azania Bank, ningependa kufahamu gharama za uendeshaji kila mwezi, vile gharama za kutoa pesa ATM na kwa Mawakala.
Natanguliza shukrani.