Nahitaji kufungua akaunti (saving A/c) Azania Bank, ningependa kufahamu gharama za uendeshaji kila mwezi, vile gharama za kutoa pesa ATM na kwa Mawakala.
Tukishakupa utataka tukakufungulie na account, acha kudeka deka hapo. Hicho ni kitendo cha dakika kadhaa tu asubuhi unaenda kwenye tawi la karibu yako unapewa taarifa zote acha kudeka....