Nahitaji kufungua duka la dawa, naombeni msaada ni vitu gani nahitaji nivizingatie

Nahitaji kufungua duka la dawa, naombeni msaada ni vitu gani nahitaji nivizingatie

Kunguru wa Unguja

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2021
Posts
1,762
Reaction score
1,823
Habari ya muda huu wana jukwaa natumai mmeamka salama, sina mengi ya kuandika, ni kama kichwa cha habari kinavyosomeka.

Naombeni ushauri wakuu nina malengo ya kufungua duka la dawa Dar es salam, hivyo naombeni ushauri ni kiasi gani cha pesa nahitaji kuwa nayo ili niweze kufungua duka la dawa muhimu na pia napenda kufahamu ni mambo gani ya msingi nahitaji kuvi consider ili nianzishe duka la dawa.

Na kwa Dar es salam ni maeneo gani yanaweza kunipa matokeo chanya kwa asilimia kubwa...ni hayo tu.

Natanguliza shukrani.
 
Mtaji andaa m3-5m ,pia inabid uende halmashauri husika unayotaka kufungua duka husika I'll uonane na mfamasia wa wilaya akuonyeshe location zinazofaa kufungua biashara yako katika wilaya hiyo ,then utafute frame yenye ukubwa was mita 4 kwa 4 au 4metres by 4metres ambayo utaweka partition ya store za dawa yenye 2.5m au iwe inakaribiana na vipimo ivyo
 
Mtaji andaa m3-5m ,pia inabid uende halmashauri husika unayotaka kufungua duka husika I'll uonane na mfamasia wa wilaya akuonyeshe location zinazofaa kufungua biashara yako katika wilaya hiyo ,then utafute frame yenye ukubwa was mita 4 kwa 4 au 4metres by 4metres ambayo utaweka partition ya store za dawa yenye 2.5m au iwe inakaribiana na vipimo ivyo
Nashukuru mkuu kwa ushauri wako ila naomba kuuliza mfano nikiwa na 1.5m au 1m siwezi nikaanzisha hy project yaani hy 1.5m iwe ni kwaajili ya dawa tu out of vitu vingine
 
Habari ya muda huu wana jukwaa natumai mmeamka salama, sina mengi ya kuandika, ni kama kichwa cha habari kinavyosomeka.

Naombeni ushauri wakuu nina malengo ya kufungua duka la dawa Dar es salam, hivyo naombeni ushauri ni kiasi gani cha pesa nahitaji kuwa nayo ili niweze kufungua duka la dawa muhimu na pia napenda kufahamu ni mambo gani ya msingi nahitaji kuvi consider ili nianzishe duka la dawa.

Na kwa Dar es salam ni maeneo gani yanaweza kunipa matokeo chanya kwa asilimia kubwa...ni hayo tu.

Natanguliza shukrani.
Uwe na dawa za kuuza, pili sehemu ya kuuzia na mwisho uwe na muuzajialiethibitishwa na bodi ya wafamasia na mwisho leseni ya halmashauri/manispaa/ jiji.
 
Habari ya muda huu wana jukwaa natumai mmeamka salama, sina mengi ya kuandika, ni kama kichwa cha habari kinavyosomeka.

Naombeni ushauri wakuu nina malengo ya kufungua duka la dawa Dar es salam, hivyo naombeni ushauri ni kiasi gani cha pesa nahitaji kuwa nayo ili niweze kufungua duka la dawa muhimu na pia napenda kufahamu ni mambo gani ya msingi nahitaji kuvi consider ili nianzishe duka la dawa.

Na kwa Dar es salam ni maeneo gani yanaweza kunipa matokeo chanya kwa asilimia kubwa...ni hayo tu.

Natanguliza shukrani.
Somo hili limekuwa likinifikilisha, je? Mtoa huduma wa duka la dawa anatakiwa kuwa na sofa gani elimu
 
Back
Top Bottom