Nahitaji kufungua Duka la Vifaa vya Ujenzi, naombeni msaada

Nahitaji kufungua Duka la Vifaa vya Ujenzi, naombeni msaada

gileun

Member
Joined
Nov 8, 2017
Posts
85
Reaction score
74
Habari wakuu!

Nahitaji kufungua duka la vifaa vya ujenzi hapa Dar es Salaam, sasa naomba kwa anaefahamu jinsi ya kuwapata mawakala wanaosambaza vifaa vya ujenzi baada ya kuagiza toka nje ya Tanzania anisaidie namna ya kuwapata.

Au hata kama kuna namna ya kuwa naagiza vifaa hivyo toka nje ya nchi, naomba msaada namna ya kufanya na processes zote muhimu.

Natanguliza Shukurani zangu.
 
Unataka kuwa main agent au muuzaji wa rejareja?

Kama unataka kuwa wakala mkubwa nenda straight viwandani, ongea nao ili mkubaliane bei.

Kama unataka kuwa muuzaji wa rejareja Ila mtaji ni mkubwa nenda viwandani pia.

Kama unataka kuwa muuzaji wa rejareja na mtaji ni wa kawaida nenda kwa mawakala wakubwa.

Mawakala ni kama Kamaka, FMJ(wahenga), Afrizania(ABM), Shananga na wengine wengi.

Viwanda ni kama Twiga cement, Sitta steel, Kiboko, Lodhia na wengine wengi.

Mtaji wa wakala sio lelemama.
 
Unataka kuwa main agent au muuzaji wa rejareja?

Kama unataka kuwa wakala mkubwa nenda straight viwandani, ongea nao ili mkubaliane bei.

Kama unataka kuwa muuzaji wa rejareja Ila mtaji ni mkubwa nenda viwandani pia.

Kama unataka kuwa muuzaji wa rejareja na mtaji ni wa kawaida nenda kwa mawakala wakubwa.

Mawakala ni kama Kamaka, FMJ(wahenga), Afrizania(ABM), Shananga na wengine wengi.

Viwanda ni kama Twiga cement, Sitta steel, Kiboko, Lodhia na wengine wengi.

Mtaji wa wakala sio lelemama.
Nadhani baada ya utekelezaji wa hivi vyote kinachofata ni location and customer care
 
Unataka kuwa main agent au muuzaji wa rejareja?

Kama unataka kuwa wakala mkubwa nenda straight viwandani, ongea nao ili mkubaliane bei.

Kama unataka kuwa muuzaji wa rejareja Ila mtaji ni mkubwa nenda viwandani pia.

Kama unataka kuwa muuzaji wa rejareja na mtaji ni wa kawaida nenda kwa mawakala wakubwa.

Mawakala ni kama Kamaka, FMJ(wahenga), Afrizania(ABM), Shananga na wengine wengi.

Viwanda ni kama Twiga cement, Sitta steel, Kiboko, Lodhia na wengine wengi.

Mtaji wa wakala sio lelemama.
Ahsante sana mkuu
 
Ni ndogo sanaa.
Ila anzia kariakoo kuna maduka ya hardware mtaa wa Swahili na kule gerezani kwa wasomali.
Hyo hata viwandani hauingii.
Ila kwa kuanzia inatosha.
Kaka hardware sio mchezo.
Ukiona umeenda duka la hardware limejaza mpe heshima yake mmiliki
Mtaji ni around 5-8 millions
 
Ni ndogo sanaa.
Ila anzia kariakoo kuna maduka ya hardware mtaa wa Swahili na kule gerezani kwa wasomali.
Hyo hata viwandani hauingii.
Ila kwa kuanzia inatosha.
Kaka hardware sio mchezo.
Ukiona umeenda duka la hardware limejaza mpe heshima yake mmiliki
Haha, sawa sawa mkuu. Ahsante sana kwa ushauri
 
Ni biashara nzuri Sana na Ina faida kubwa ukipata sehemu yenye mzunguko wa hela.
Asa asa vifaa vya bomba.
niliuza hardware naifahamu anza tu.
Kikubwa usimamizi uwe mzuri na eneo liwe zuri.
Haha, sawa sawa mkuu. Ahsante sana kwa ushauri
 
Back
Top Bottom