ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
Habari wakuu na wadau wa safu hii
Nahitaji kujua na kujifunza kushona viatu vya kitamaduni yaani vinavyotumia material ya malighafi zetu
kama vile vitenge, nguo za kimasai nataka kujifunza namna ya kushona viatu, sendozi, mikoba na mitindo
mbalimbali ya asilia kwani napendelea sana mambo ya kitraditional wadau nisaidieni au kama yuko mtu anaweza
kunifundisha basi tuawasiliane kwa PM aniambie anapatikana wapi nami nitaenda huko nami nitatoa ada ya
mafunzo hayo .
VITU NINAVYOTAJA KUJIFUNZA NI KAMA IFUATAVYO HAPO CHINI:


Nawatakia siku njema
Nahitaji kujua na kujifunza kushona viatu vya kitamaduni yaani vinavyotumia material ya malighafi zetu
kama vile vitenge, nguo za kimasai nataka kujifunza namna ya kushona viatu, sendozi, mikoba na mitindo
mbalimbali ya asilia kwani napendelea sana mambo ya kitraditional wadau nisaidieni au kama yuko mtu anaweza
kunifundisha basi tuawasiliane kwa PM aniambie anapatikana wapi nami nitaenda huko nami nitatoa ada ya
mafunzo hayo .
VITU NINAVYOTAJA KUJIFUNZA NI KAMA IFUATAVYO HAPO CHINI:


Nawatakia siku njema

