Nahitaji kujifunza kushona viatu vya traditional vitenge

Nahitaji kujifunza kushona viatu vya traditional vitenge

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,753
Reaction score
9,575
Habari wakuu na wadau wa safu hii

Nahitaji kujua na kujifunza kushona viatu vya kitamaduni yaani vinavyotumia material ya malighafi zetu
kama vile vitenge, nguo za kimasai nataka kujifunza namna ya kushona viatu, sendozi, mikoba na mitindo
mbalimbali ya asilia kwani napendelea sana mambo ya kitraditional wadau nisaidieni au kama yuko mtu anaweza
kunifundisha basi tuawasiliane kwa PM aniambie anapatikana wapi nami nitaenda huko nami nitatoa ada ya
mafunzo hayo .

VITU NINAVYOTAJA KUJIFUNZA NI KAMA IFUATAVYO HAPO CHINI:
pochi.jpg pochi.jpg

sendozi.jpg kiatu.jpg


Nawatakia siku njema
 
waone veta DODOMA
wana Idara ya hii07.JPG2.jpg


Habari wakuu na wadau wa safu hii

Nahitaji kujua na kujifunza kushona viatu vya kitamaduni yaani vinavyotumia material ya malighafi zetu
kama vile vitenge, nguo za kimasai nataka kujifunza namna ya kushona viatu, sendozi, mikoba na mitindo
mbalimbali ya asilia kwani napendelea sana mambo ya kitraditional wadau nisaidieni au kama yuko mtu anaweza
kunifundisha basi tuawasiliane kwa PM aniambie anapatikana wapi nami nitaenda huko nami nitatoa ada ya
mafunzo hayo .

Nawatakia siku njema
 
Unaishi wapi? mm nipo Dar! naweza kukufundisha vyote hivyo na vingine kwa gharama nafuu, kama upo interest ni PM.
 
Back
Top Bottom