Nahitaji kujifunza kuzungumza kiswahili sanifu; tuanze na neno timbwili

Nahitaji kujifunza kuzungumza kiswahili sanifu; tuanze na neno timbwili

satobea

Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
15
Reaction score
5
Habari

Natamani sana kujua kukiongea kiswahili sanifu chenye mtiririko wa maneno. Ombi langu nijue mengi hapa JF. Naomba tuanze na neno timbwili; maana yake nini? Linatumikaje kwenye sentensi?

Tujifunze lugha na tuienzi, Kiswahili kitukuzwe
 
Sidhani kama utalipata kwenye kamusi. Maneno yanayozushwa na wasanii, labda waulizwe wenyewe.
 
Hakuna kitu kinanikera ninaposoma sentensi nakuta badala ya r inawekwa l na mbaya zaidi unakutana na msomi kabisa halafu vitu vidogo kama hivyo ameharibu. Mfano kura inaandikwa kula. Hivi shida ni nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom