Nahitaji kujifunza lugha ya kisukuma tafadhari msaada wenu

deo paul555

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2018
Posts
1,405
Reaction score
521
Habar wadau,nahitaji nijue hio lugha kwani napenda sana nianze salamu asubuhi mchana jioni kwa wanaume au wanawake nianze hapo.
 
Naaam,wako vizuri.
 
Karibu(dulihoi),ni lugha rahisi sana na nimefanya kazi na wakanada kwa mda wa miezi sita jamaaa walianza kuzungumza kisukuma kama wazawa
 
Asubuhi Kama ni salamu salimia ng'wangaluka (mayo_mwanamke) au (baba-mwanaume).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…