Nahitaji kujifunza Lugha ya ‘Portugese’ au Kireno

Nahitaji kujifunza Lugha ya ‘Portugese’ au Kireno

Haina dili lugha yenyewe labda uwe umepata mchongo bondia meu amigo,edvir ti isnar preparar so dinhero
 
Hakuna lugha ngumu kama kireno,yaani Ukifika huku kitu cha kwanza wenyeji wako watajua kiswahili unachoongea ndani ya Mwezi lakini wewe itakuchukua zaidi ya miaka 10 kujua kireno
K
 
Com sta haiunganishwi halafu sto bem au boa tarde au bomndia boa noite
 
Inategemeana na Mozambique ya wapi,hii ya kaskazini tumewalisha kiswahili yote maana imekuwa kama sehemu ya Tanzania,huwezi kushindwa kukutana na watu watatu ingalau mmoja anajua kiswahili
 
Inategemeana na Mozambique ya wapi,hii ya kaskazini tumewalisha kiswahili yote maana imekuwa kama sehemu ya Tanzania,huwezi kushindwa kukutana na watu watatu ingalau mmoja anajua kiswahili
Nataka kwenda Beira kwani kuna mambo nimecheki hapa Bongo yanafanyika na nikiingia Mozambique ninaweza nikayafanya pia kwa ujumla maswala Bandari
 
Unaongea lugha ambayo haina Masada wowote. Mfano watoto tunaozalia huku inabidi tuwaludishe kwenda kusoma Tanzania na ni rahisi kuja kufanya kazi huku. Lakini aliyesoma huku hana ujanja wa kwenda kufanya kazi popote pale zaidi ya Mozambique na inchi zinazoonge kireno
 
Unaongea lugha ambayo haina Masada wowote. Mfano watoto tunaozalia huku inabidi tuwaludishe kwenda kusoma Tanzania na ni rahisi kuja kufanya kazi huku. Lakini aliyesoma huku hana ujanja wa kwenda kufanya kazi popote pale zaidi ya Mozambique na inchi zinazoonge kireno
Mku asante sana.
Mm mpango wangu ni kuja kutulia kimaisha ikiwezekana niombe uraia kabisa kwani Watoto wangu wanasoma huku
 
Unaongea lugha ambayo haina Masada wowote. Mfano watoto tunaozalia huku inabidi tuwaludishe kwenda kusoma Tanzania na ni rahisi kuja kufanya kazi huku. Lakini aliyesoma huku hana ujanja wa kwenda kufanya kazi popote pale zaidi ya Mozambique na inchi zinazoonge kireno
Kwani hawasomi kiingereza?
 
Back
Top Bottom