Nina imani humu kuna watalaamu mbalimbali wa masuala ya magari.. Nahitaji msaada nijifunze ufundi mbalimbali katika garage yoyote hapa Dar.
Elimu yangu hairuhusu kupitia au kwenda vyuo husika vinavyofundisha.
Naomba mwenye uwezo wa kunipa mafunzo, nifanye kazi walau bila malipo, itapendeza sana.
Msaada wako muhimu sana.
shoohenry na wengine wataalamu wa haya mambo naombeni kujitolea katika garage zenu.
Nahitaji sana haya mambo..
Pesa sina wadau... nitajitahidi kufanya kazi kwa weledi...