M max prixc Member Joined May 30, 2022 Posts 10 Reaction score 13 Sep 28, 2022 #1 Wakuu nahitaji kuingia kwenye biashara ya mabegi ya mtumba kunawateja wanachukuwa mzigo Tandika mezani kwa bei ya elfu 4 hadi elfu 5. Naomba kufahamu ni wapi eneo sahihi la kupata mabegi safi ya mtumba, kama pia karume naweza pata mzigo?
Wakuu nahitaji kuingia kwenye biashara ya mabegi ya mtumba kunawateja wanachukuwa mzigo Tandika mezani kwa bei ya elfu 4 hadi elfu 5. Naomba kufahamu ni wapi eneo sahihi la kupata mabegi safi ya mtumba, kama pia karume naweza pata mzigo?
Kalaga Baho Nongwa JF-Expert Member Joined Sep 27, 2020 Posts 9,953 Reaction score 23,150 Sep 28, 2022 #2 Ilala max prixc said: Wakuu nahitaji kuingia kwenye biashara ya mabegi ya mtumba kunawateja wanachukuwa mzigo Tandika mezani kwa bei ya elfu 4 hadi elfu 5. Naomba kufahamu ni wapi eneo sahihi la kupata mabegi safi ya mtumba, kama pia karume naweza pata mzigo? Click to expand... Hata ilala boma Kuna mtaa unafanya kazi ya kunadisha hiyo asubuhi
Ilala max prixc said: Wakuu nahitaji kuingia kwenye biashara ya mabegi ya mtumba kunawateja wanachukuwa mzigo Tandika mezani kwa bei ya elfu 4 hadi elfu 5. Naomba kufahamu ni wapi eneo sahihi la kupata mabegi safi ya mtumba, kama pia karume naweza pata mzigo? Click to expand... Hata ilala boma Kuna mtaa unafanya kazi ya kunadisha hiyo asubuhi