Nahitaji kujua maeneo ambayo hayajafikiwa na huduma ya maji na mamlaka kwaajili ya utafiti wa kielimu

Nahitaji kujua maeneo ambayo hayajafikiwa na huduma ya maji na mamlaka kwaajili ya utafiti wa kielimu

proxy

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
1,479
Reaction score
1,348
Nije Moja Kwa Moja kwenye mada. Nahitaji kujua ni maeneo au eneo gani iwe Eilaya/Kata au kijiki/mtaa ambalo hawajafikiwa kabisa na huduma ya maji ya mamlaka, na Wakazi wake wanatumia maji ya kisima, mito au maziwa.

Nahitaji hii Kwa ajili ya utafiti wa kielimu.
 
Back
Top Bottom