proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,479
- 1,348
Nije Moja Kwa Moja kwenye mada. Nahitaji kujua ni maeneo au eneo gani iwe Eilaya/Kata au kijiki/mtaa ambalo hawajafikiwa kabisa na huduma ya maji ya mamlaka, na Wakazi wake wanatumia maji ya kisima, mito au maziwa.
Nahitaji hii Kwa ajili ya utafiti wa kielimu.
Nahitaji hii Kwa ajili ya utafiti wa kielimu.