Nahitaji kujua namna ya kuagiza vitenge toka Tunduma

Nahitaji kujua namna ya kuagiza vitenge toka Tunduma

MAPITO Mwanza

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2018
Posts
4,236
Reaction score
5,907
Kama kichwa Cha habali hapo juu nahitaji kujua namna ya kuagiza vitenge Toka tunduma kiukweli Sina uzoefu na hii biashara namuna ya kuupata Mzigo mpaka kuufikiaha dar na cost zake nitashukuru.
 
Kama kichwa Cha habali hapo juu nahitaji kujua namna ya kuagiza vitenge Toka tunduma kiukweli Sina uzoefu na hii biashara namuna ya kuupata Mzigo mpaka kuufikiaha dar na cost zake nitashukuru.
Kwa huku Tunduma uagizaji ni mgumu haswa ukitaka mzgo mkubwa ila tunasafirisha saana kwa kutumia maroli na gari za dar mabasi

Kama unataka directions nicheki 0627380556
 
Kwa huku Tunduma uagizaji ni mgumu haswa ukitaka mzgo mkubwa ila tunasafirisha saana kwa kutumia maroli na gari za dar mabasi
Kama unataka directions nicheki 0627380556
Niyakucheck mkuu
 
Kwa huku Tunduma uagizaji ni mgumu haswa ukitaka mzgo mkubwa ila tunasafirisha saana kwa kutumia maroli na gari za dar mabasi
Kama unataka directions nicheki 0627380556
Wanauzaje hivyo vitenge?
 
Kama kichwa Cha habali hapo juu nahitaji kujua namna ya kuagiza vitenge Toka tunduma kiukweli Sina uzoefu na hii biashara namuna ya kuupata Mzigo mpaka kuufikiaha dar na cost zake nitashukuru.
Mkuu hii biashara uliifanya?
 
Back
Top Bottom