Nahitaji kujua taratibu za DNA

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
umri wa mtoto kwenye upimaji wa dna unatakiwa kuanzia kiasi gani?
 
Sidhani kama kuna muda maalum, hata mtoto mchanga unaweza kufanya hivyo au unaweza kuamua kusubiri kwa muda uutakao. Ni maamuzi yako Mkuu.
 
usisahau Nasikia ni lazima ufunge kesi pia!
 
Sidhani kama kuna muda maalum, hata mtoto mchanga unaweza kufanya hivyo au unaweza kuamua kusubiri kwa muda uutakao. Ni maamuzi yako Mkuu.

thanks mkuu. Ni vyema kujua haya mambo mapema
 
Kama unawasiwasi na mwanao nenda kapime blood group yako, ya mtoto na ya mkeo. Hii ni initial stage ya kujua kama group ya damu yako na mtoto vinauhusiano. Kumbuka Genetics ya o'level tu. Mfano mimi ninagroup A+ wife A+, hapa hakuna jinsi watoto lazima wawe group A+. Coz group A ni dominant. Ingawa uwezekano wa kupata group O huwa upo kama genetic make up ni AO, Ambapo kupata grp O ni 25%. Anza na hii donot waste money. Hii hazid 5000tsh/person
 

si kweli.
 
Elezea kwa nini si kweli, siyo ukane tu afu hutoi ukweli wenyewe. Mimi mtoto wangu ana group A, mimi group A mama yake A. sasa hapa sin haja ya kudoubt uhalali wa mtoto huyu. Kuna jamaa alikuja Clinic mwanae akawa group haihusiani na mama wala baba sasa hapa lazima kunkuchakachua mtoto kwa huyu akisema anakwenda kufanya DNA nakubali kabisa, katika maisha ya kawaida haiwezekani mtoto wenu mliye mzaa akawa hana uhusiano wa wa kijenetic wa damu. Acheni kukumbilia huko tuanze na vipimo vidogo hivi na baadaye twende huko.
 
Kwa hiyo kama mimi ni O na mwanamke ni A, kwa mtoto itasomaje?
 
Nimeikuta hii sehemu. halafu nauliza Dr Kingu, inakuwaje pale mfano nina group AB na huyo baba mwenza ana A au AB wakati mwanamke ana B. Huo ni mfano tu. hapo si inabidi sasa DNA?



 
Last edited by a moderator:
hapo tarajia kupata watoto wenye group A watupu kama mama atakuwa ni AA, kama ni AO utapata 50% A na 50% O.
yaani
baba O + Mama A, AO 100% hapa una assume mama ni AA, ikiwa mama ana AO
then O + AO = AO, AO, na OO, OO.
Kwa upande mwingine jua kuwa watoto wako watakuwa na group AA tupu au wakarithi na yakwako O. Kumbuka A ni dominant na O ni recesive. Nje ya magroup haya huyo mtoto si wakwako. Lakini pia utaona hata kufanana unafanana nao au na nduguzo. Kwa hiyo tuwe tunaanza angalau hata na hizi zinaweza kukusaidia.
says Dr Kingu with Assistance Of Mupirocin who is banned till 6th of January.
 
Kama ipo hivyo unaweza fanya DNA lakini idea ya kwanza ninacho taka kusema hapa ni kuwa anza kuangalia uhusiano wa damu za mtoto na za kwenu je upo, hapa unaaza kuclear doubts early. Hii siyo specific lakini DNA ni more specific.Yaani coinsidence hizi zinaweza tokea coz hapa duniani yapo magroup A, B, AB na O tu hivyo coincidence inaweza tokea. Kwa mfano mimi mwenyewe mtoto nafanana naye na nilipofanya grouping zinauhusuano na sisi wazazi wake hivyo inaanza kuclear doubt. lakini kama mnafanan groups lakini hakuna hata ufanano hata kidogo basi lazima ufanye utafiti zaidi ambao ni more specific kama DNA
 
duh! Hata wewe mtaalam una mashaka? Angalia chart hapo juu
Mkuu Raia Fulani Sina mashaka lakini kuhakikisha ni bora usije kulea mtoto sio wako unaletea mtoto wa mwenzako ingawa mimi mke wangu aliza miaka 25 iliyopita sio sasa lakini kwa kipindi hiki unaweza kuwachunguza watoto wako na kujuwa ni yupi sio mtoto wako na yupi ndio mwanao. Na ukijuwa kuwa huyo unayemlea sio mtoto wako sijuwi itakuwaje?
 
Last edited by a moderator:

dah! Ukijua mwana si wako inakuwa balaa. Bora kujua mapema haya masuala
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…