Nahitaji kujua ubora wa MAZDA RX-8 mwenye kufahamu kuhusu hii chombo

Hiyo gari ni shida maana nguvu yake ni sawa na cresta gx 100 iliyokuwa tuned na wataalam maana zingine zina horsepower mpaka 250 hapo hakuna cha Alteza wala subaru inayowezza kutia mguu
 
Daah asee Mkuu ulichokisema ni ukweli mchungu. Mipango yangu haijakaa fresh lkn naitamani rx 8 ya atleast 2009 kuanzia model hio nasikia hazina shida Sana kuna mhindi mmoja anayo hapa town aliniambia. Hivi Mkuu ngoja nichomeke swali langu hapa kuna gari linaitwa NISSAN CIMA model ya 2005 Cc 4500 V8 unaweza kua unaifaham na performance zake zilivo? Kuhusu kua v8 sio shida maana ulaji wake mafuta ni kama hio Mazda tu. Shida yangu ni kujua kama hua unakutana nazo hapo ofisini Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…