Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya Professional Certification kama unataka kubobea kwenye IT. Inapunguza Kiswahili-Mrefu.Msaada wa chuo chochote nje ya nchi kinachotoa kozi za IT kupitia mtandao/online.
Muhimu:
1. Kinatambulika na TCU
2. Kitoe cheti
3. Gharama nafuu.
Njoo tusome distance Learning hapa OUTMsaada wa chuo chochote nje ya nchi kinachotoa kozi za IT kupitia mtandao/online.
Muhimu:
1. Kinatambulika na TCU
2. Kitoe cheti
3. Gharama nafuu.
Wanatoa hiyo courseMkuu! Nenda Open University of Tanzania (OUT)
Wewe unapiga course gani?Njoo tusome distance Learning hapa OUT
HahahaaNa hivi vifurushi bado unamzuka wa kusoma online mkuu?
Naomba kujua vyuo vinavyotoa hizo professional certificateFanya Professional Certification kama unataka kubobea kwenye IT. Inapunguza Kiswahili-Mrefu.
Naomba kujua vyuo vinavyotoa hizo professional certificate
Networking CISCO ..Oracle database certification
Habar Watalamu... Nipo kwenye maandalizi ya kufanya mtihani wa kwanza wa OCA... yaani najiandaa na SQL Fundamenta I (EXAM IZO-051).. Sasa natafuta mtu ambaye anaweza kunipa msaada wa kukonect "Sql Developer" kwa ajili ya kuanza kufanya mazoezi... Naomben msaada nishaangaika sana mitandaoni...www.jamiiforums.com
Mf. CISA, CCNA, CCNP, na nyingine lukuki.
Unataka kubobea kwenye eneo lipi la IT?
Ni vyuo vipi vinatoa hizo certificate ?Oracle database certification
Habar Watalamu... Nipo kwenye maandalizi ya kufanya mtihani wa kwanza wa OCA... yaani najiandaa na SQL Fundamenta I (EXAM IZO-051).. Sasa natafuta mtu ambaye anaweza kunipa msaada wa kukonect "Sql Developer" kwa ajili ya kuanza kufanya mazoezi... Naomben msaada nishaangaika sana mitandaoni...www.jamiiforums.com
Mf. CISA, CCNA, CCNP, na nyingine lukuki.
Unataka kubobea kwenye eneo lipi la IT?
Thanks kiongozi ... Je wanatoa vyeti ?Aaanza mdogo mdogo...
Hivi course zingine ni bure kwenye kuanza, halafu baadae kwenye advance level itabidi ulipie...
Cisco Networking Academy
www.netacad.com
View attachment 1742230
Ni vyuo vipi vinatoa hizo certificate ?
Kipi muhimu zaidi kwa mazingira uliyoko ... Elimu au Cheti?Thanks kiongozi ... Je wanatoa vyeti ?
University of Dar es salaam Computing Centre | Excellence, Innovation and Technological ForesightNi vyuo vipi vinatoa hizo certificate ?
Nadhani unatakiwa ufanye mtihani wa certification kwa course uliosomea,Thanks kiongozi ... Je wanatoa vyeti ?
UDSM,Msaada wa chuo chochote nje ya nchi kinachotoa kozi za IT kupitia mtandao/online.
Muhimu:
1. Kinatambulika na TCU
2. Kitoe cheti
3. Gharama nafuu.