TihZ
Senior Member
- Jul 31, 2012
- 158
- 26
nikiwa na mwenza wangu faragha wakati wa kudo nikishapiiz mara ya kwanza inachukua kama dakika ishirini ili jogoo asimame tena,je hili ni tatizo na kama si tatizo ni kwanini inakuwa hivyo pia huwa sipendi niwahi kukojoa nifanya nini katika hilo....naombeni msaada wana jf