Nahitaji kukadilia material mbalimbali ili nianze ujenzi kiwanja kipo maeneo ya Dodoma chamwino ila Kuna vtu nahitaji kuvifaham bei

Nahitaji kukadilia material mbalimbali ili nianze ujenzi kiwanja kipo maeneo ya Dodoma chamwino ila Kuna vtu nahitaji kuvifaham bei

1.Mchanga Tipa
2.Cement
3.kokoto Tipa
4.Tofali inch 5 n 6
5.Mawe
6.Nondo mil 12
Mchanga 80000 hadi 90000
Kokoto 150000
Nawe 150000
Cement 17000
Tofali 1300 inch 6
Tofali 1100 inch 5
Nondo 12mm 18000
Kifusi moram 90000
Maji boza 180000

Bei zinategemea ba umbali wa kupeleka material.
 
Back
Top Bottom